Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Viongozi wa Afrika na Marekani wanakutana Washington
Rais wa Marekani Joe Biden atakuwa mwenyeji wa viongozi kutoka nchi za Afrika kuanzia kesho Jumanne hapa Washington DC, wakati White House ikiweka mikakati ya kupunguza pengo la ukosefu wa uaminifu kati ya Marekani na Afrika, jambo ambalo limekuwa liokiongezeka kwa muda wa miaka kadhaa.
Matukio
-
Septemba 04, 2025
Duniani Leo
-
Septemba 03, 2025
Duniani Leo
-
Septemba 02, 2025
Duniani Leo
-
Septemba 01, 2025
Duniani Leo
-
Agosti 29, 2025
Duniani Leo
-
Agosti 28, 2025
Duniani Leo