Matukio muhimu ya 2022 katika picha
- Abdushakur Aboud
Dunia yashuhudia matukio ya kihistoria mwaka 2022 kuanzia mabadiliko ya hali ya hewa, vita vya Ukraine, ughali wa maisha hadi nja na uhamiaji.
5
Wakazi walokoseshwa makazi katika kitongoji cha Cite Soleil katika mji mkuu wa Haiti.
6
Waandamanaji wameingia nyumbani kwa rais Gotabaya Rajapaksa wa Sri Lanka kumtaka aachie madaraka.
7
Ukame uliokithiri katika jimbo la Abdroy Madagascar, mchanga ukifunika adhi ya mji wa Ambovombe.
8
Waingereza waaga mwili wa Malkia Elizabeth kuelekea Kasri ya Windsor.