Papa Francis atembelea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akiwa na ujumbe wa amani.
- Abdushakur Aboud
Papa Francis aliwasili Kinshasa Jumanne Januari 31, na kutoa wito kwa Jumuia ya Kimataifa kutojihusisha ndani ya masuala ya Afrika, na kuwaachia waafrika watanzuwe matatizo yao wenyewe.

5
Papa Francis awasili kwenye uwanja wa Ndolo kuongoza misa , mjini Kinshasa, DRC.

6
Umati wa watu kwenye uwanja wa Ndolo wakihudhuria misa inayongozwa na Papa Francis mjini Kinshasa, DRC

7
Waumini waliokusanyika ndani ya uwanja wa Ndolo kwa misa maalum iliyoongozwa na Papa Francis.

8
Watu ambao hawakuweza kuingia ndani ya uwanja wa Ndolo ambako Papa Francis anaongoza misa.