Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Juni 20, 2025 Local time: 22:31

Rais wa Uturuki atangaza miezi mitatu ya hali ya dharura kufuatia tetemeko la ardhi


Rais wa Uturuki atangaza miezi mitatu ya hali ya dharura kufuatia tetemeko la ardhi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa Uturuki ametangaza miezi mitatu ya hali ya dharura katika majimbo kumi yaliyoko kusini mwa nchi hiyo yaliyokumbwa na tetemeko la ardhi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG