Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 21, 2025 Local time: 15:25

Mikutano ya Benki ya Dunia na IMF: Ajenda ya mageuzi na uchangishaji fedha huenda ikagubikwa na changamoto kadhaa


Mikutano ya Benki ya Dunia na IMF: Ajenda ya mageuzi na uchangishaji fedha huenda ikagubikwa na changamoto kadhaa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mikutano ya baada ya msimu wa baridi ya Benki ya Dunia na Shirika la Fedha, IMF, imewaleta pamoja wakuu wa benki kuu na maafisa wengine wa kifedha kujadili masuala ya kimataifa ikiwemo makadirio ya uchumi wa dunia mjini Washington DC, Marekani

- Kadhalika huenda ajenda ya mageuzi na uchangishaji fedha huenda ikagubikwa na changamoto ya mfumuko wa bei, ongezeko la mivutano ya kisiasa maeneo mbalimbali duniani na uthabit wa kifedha.

- Kenya yaendelea kukabiliwa na mzozo wa uchumi huku Rais William Ruto akisema hawezi kuchukua mkopo kulipa wafanyakazi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG