- Kadhalika huenda ajenda ya mageuzi na uchangishaji fedha huenda ikagubikwa na changamoto ya mfumuko wa bei, ongezeko la mivutano ya kisiasa maeneo mbalimbali duniani na uthabit wa kifedha.
- Kenya yaendelea kukabiliwa na mzozo wa uchumi huku Rais William Ruto akisema hawezi kuchukua mkopo kulipa wafanyakazi.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari