Mapigano kati ya wanamgambo wa Sudan na Jeshi yaendelea
Kikundi cha wanamgambo wa Sudan, kikosi cha usaidizi wa haraka cha wanamgambo, RSF, na jeshi la ulinzi la Sudan wameshambuliana kwa bunduki mjini Khartoum na meneo mengine nchini tangu siku ya Jumamosi katika jitihada ya kuudhibiti mji huo.

5
Picha za Satellite zikionyesha moshi na mandhari ya jumla ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Khartoum, Sudan. (Reuters).

6
Sudanese greet army soldiers, loyal to army chief Abdel Fattah al-Burhan in the Red Sea city of Port Sudan on April 16, 2023. (AFP)
Wasudan wakiwasalimia wanajeshi, ambao wanamuunga mkono Mkuu wa Jeshi Abdel Fattah al-Burhan katika mji wa Red Sea wa Port Sudan Aprili 16, 2023. (AFP)
Wasudan wakiwasalimia wanajeshi, ambao wanamuunga mkono Mkuu wa Jeshi Abdel Fattah al-Burhan katika mji wa Red Sea wa Port Sudan Aprili 16, 2023. (AFP)

7
Smoke billows above residential buildings in Khartoum on April 16, 2023,
Moshi ukiwa umetanda katika majengo ya makazi ya watu huko Khartoum Aprili 16, 2023. AFP
Moshi ukiwa umetanda katika majengo ya makazi ya watu huko Khartoum Aprili 16, 2023. AFP

8
Watu wakitembea katika daraja la Halfaya Bridge wakati mapigano yakiendelea. Khartoum Kaskazini, Sudan April 15, 2023. (Reuters)