Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 21, 2025 Local time: 04:24

Mgogoro wa Sudan: Milipuko na milio ya risasi yatikisa Khartoum na Omdurman


 Mgogoro wa Sudan: Milipuko na milio ya risasi yatikisa Khartoum na Omdurman
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Milipuko mikubwa na milio ya risasi ilitikisa sehemu za mji mkuu wa Sudan, Khartoum na mji pacha wa Omdurman mapema ijumaa,

Milipuko mikubwa na milio ya risasi ilitikisa sehemu za mji mkuu wa Sudan, Khartoum na mji pacha wa Omdurman mapema ijumaa, wakaazi wamesema. Hili linajiri licha ya kuongezwa muda wa sitisho tete la mapigano kati ya majenerali wakuu wawili ambao mzozo wao wa kugombea madaraka umeuwa mamia ya watu.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG