Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Julai 16, 2025 Local time: 19:27

Rais Trump anatarajiwa kufika mahakamani kusomewa mashtaka


Rais Trump anatarajiwa kufika mahakamani kusomewa mashtaka
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa zamani wa Marekani anatarajiwa kufika mahakamani Jumanne kusomewa rasmi mashtaka ya uhalifu wa kuhifadhi kinyume cha sheria nyaraka za serikali wakati alipoondoka madarakani.

Mswaada wa fedha wa 2023 wenye utata utafikishwa katika bunge la Kenya.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG