Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Agosti 22, 2025 Local time: 08:46

Wanasiasa wahoji uwezekano wa kuchaguliwa tena Rais wa zamani Donald Trump akigombea 2024


Wanasiasa wahoji uwezekano wa kuchaguliwa tena Rais wa zamani Donald Trump akigombea 2024
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Katika kinyang'anyiro cha urais mwaka 2024 uwezekano wa kuchaguliwa tena Rais wa zamani Donald Trump unahojiwa baada ya kujisalimisha huko Georgia katika kesi ya wiki iliyopita inayohusu ubadhirifu katika uchaguzi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG