Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Juni 18, 2025 Local time: 14:39

Afrika Kusini yasifiwa kwa kuingia kwenye fainali za Kombe la Dunia la Rugby


Afrika Kusini yasifiwa kwa kuingia kwenye fainali za Kombe la Dunia la Rugby
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Timu ya taifa ya Rugby ya Afrika Kusini imefanikiwa kuingia fainali ya michuano hiyo ya kombe la dunia baada ya kuishinda Uingereza kwa pointi 16-15 katika mchezo mkali na kusisimua ambao Uingereza walitawala kwa sehemu kubwa.

XS
SM
MD
LG