Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Juni 09, 2025 Local time: 09:14

Majeshi ya Israeli yashambulia usiku kucha Ukanda wa Gaza, Hamas yaionya Israel kuhusu mateka wake


Majeshi ya Israeli yashambulia usiku kucha Ukanda wa Gaza, Hamas yaionya Israel kuhusu mateka wake
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:54 0:00

Israeli imesema imeshambulia Ukanda wa Gaza usiku kucha huku msemaji wa jeshi la Hamas akisema kuwa wapiganaji wake wataua mmoja wa mateka 150 wakati wowote Israeli itakapolenga katika mashambulio yake maeneo ya kiraia huko Gaza.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG