Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Juni 10, 2025 Local time: 23:37

Jeshi la Israeli lashambulia usiku kucha Ukanda wa Gaza ukilenga malengo 200


Jeshi la Israeli lashambulia usiku kucha Ukanda wa Gaza ukilenga malengo 200
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Israel imesema leo jeshi lake limeshambulia malengo 200 huko Ukanda wa Gaza usiku kucha wakati wanajeshi wa Israel walipokusanyika katibu na mpaka wa Gaza.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG