Mjini Bukavu katika jimbo la Kivu Kusini, vijana ndiyo wanatumiwa kubandika na hata kubandua picha na mabango ya wagombea. Vijana hao wanarandaranda huku na kule wakiwa na vyombo vya muziki, T-shirts za wagombea, bendera, na vipaza sauti ambavyo hutumika mahsusi ili kuwahamasisha raia kumpigia kura mgombea huyu au yule siku ya upigaji kura hapo Desemba 20, 2023.
Matukio
- 
Februari 19, 2025Kenya yalaumiwa kwa kuruhusu RSF kukutana Nairobi
 - 
Novemba 25, 2024REPORT SIKU 16 ZA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA.mp3
 - 
Mei 28, 2024Biden na Trump watafuta kura za wanawake
 - 
Mei 01, 2024Rwanda yaunda mkakati mpya wa ajira kwa vijana
 - 
Februari 05, 2024Ziara ya rais wa Poland nchini Kenya kuimarisha ushirikiano
 
Forum