Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Mgombea Urais Moise Katumbi Chapwe yuko ziarani mjini Bukavu ndani ya Jimbo la Kivu kusini kufanya kampeni yake ambapo amehotubia raia Jumatatu jioni akiwaahidi kwamba ikiwa watamchagua kuwa Rais Mpya wa Nchi hiyo atarejesha amani mashariki mwa Nchi hiyo nakuleta maendeleo na mabadiliko makubwa. Kutoka Bukavu, Mitima Delachance ametutumia ripoti :
Matukio
- 
Februari 19, 2025Kenya yalaumiwa kwa kuruhusu RSF kukutana Nairobi
 - 
Novemba 25, 2024REPORT SIKU 16 ZA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA.mp3
 - 
Mei 28, 2024Biden na Trump watafuta kura za wanawake
 - 
Mei 01, 2024Rwanda yaunda mkakati mpya wa ajira kwa vijana
 - 
Februari 05, 2024Ziara ya rais wa Poland nchini Kenya kuimarisha ushirikiano
 
Forum