Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 07, 2025 Local time: 15:55

Watu zaidi ya 300 wahofiwa kufariki kutokana na mafuriko ya Mto Congo


Watu zaidi ya 300 wahofiwa kufariki kutokana na mafuriko ya Mto Congo
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Zaidi ya watu 300 wanahofiwa wamefariki kutokana na mafuriko makubwa kuwahi kutokea kwa miaka sitini katika Mto Congo na kusababisha maafa makubwa kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Jamhuri ya Kongo.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG