Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Juni 06, 2025 Local time: 16:39

Wafanyabiashara waitaka EAC kuweka vikwazo kwa nchi zitakazo kiuka mkataba wa jumuiya


Wafanyabiashara waitaka EAC kuweka vikwazo kwa nchi zitakazo kiuka mkataba wa jumuiya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Mzozo wa kibiashara baina ya mataifa wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki umesababisha wafanyabiashara kuitaka jumuiya hiyo kuweka vikwazo dhidi ya nchi zitakazo kiuka mkataba wa Afrika Mashariki.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG