Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Juni 10, 2025 Local time: 09:37

Watu 31 wafariki katika ajali ya barabarani nchini Mali


Watu 31 wafariki katika ajali ya barabarani nchini Mali
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Watu 31 walifariki nchini Mali Jumanne na wengine 10 kujeruhiwa wakati basi lililokuwa linasafiri kuelekea Burkina Faso lilipoanguka kutoka kwenye daraja kusini mashariki mwa nchi hiyo, wizara ya uchukuzi ilisema.

XS
SM
MD
LG