Dunia yadaiwa kujitenga na mzozo wa Sudan
Kiungo cha moja kwa moja
Jarida la wikiendi linaangazia vita huko Sudan ambavyo vimepamba moto huku dunia ikionyesha kujitenga na mzozo huo. Tangu vita hiyo izuke mwaka mmoja uliopita takriban watu 16,000 wameuawa na wengine milioni 8.6 kupoteza makazi yao na kusababisha mgogoro mkubwa wa kibinaadamu
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Forum