Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 07, 2025 Local time: 17:33

Mafuriko makubwa Afghanistan yasababisha vifo vya watu 50


Mafuriko makubwa Afghanistan yasababisha vifo vya watu 50
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mafuriko makubwa yaliyotokana na mvua kubwa za msimu magharibi mwa Afghanistan yamesababisha vifo vya takriban watu 50 na wengine kadhaa hawajulikani walipo, afisa wa Taliban alisema Jumamosi, akiongeza kuwa idadi ya waliofariki ilitokana na ripoti za awali na huenda ikaongezeka.

XS
SM
MD
LG