Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Mei 19, 2025 Local time: 15:32

Maoni tofauti yanaendelea kujitokeza kufuatia kuuwawa kwa kiongozi wa kundi la Hamas


Maoni tofauti yanaendelea kujitokeza kufuatia kuuwawa kwa kiongozi wa kundi la Hamas
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Maoni tofauti yanaendelea kujitokeza kufuatia kuuwawa kwa kiongozi wa kundi la Hamas nchini Iran.

Suala la utoaji mimba limetawala katika kampeni za ugombea urais wa Marekani kwa kujaribu kuwavuta wapiga kura wa pande zote.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG