Jumamosi ulimwengu unaadhimisha Siku ya Walimu Duniani, tarehe iliyotengwa na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuwaenzi walimu kote duniani, na kuangazia changamoto wanazopitia na mafaniko wanayojivunia.
Jumamosi ulimwengu unaadhimisha Siku ya Walimu Duniani, tarehe iliyotengwa na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuwaenzi walimu kote duniani, na kuangazia changamoto wanazopitia na mafaniko wanayojivunia.