BIden na sika wa Bunge wafikia mwafaka kuhusu swala la ukomo wa deni la taifa
Rais wa Marekani, Joe Biden, na Spika wa baraza la wawakilishi la Marekani, Kevin McCarthy, Jumapili wamefikia muafaka wa kuongeza ukomo wa kiwango cha kukopa cha serikali ya Marekani, na wanalisihi bunge kuidhinisha mswaada huo ili kuiepusha serikali kuu kutoshindwa kwa mara ya kwanza kulipa deni.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC