Shirika hilo lilikuwa limesitisha safar hizo kwa miezi 18 tangu vita vilipoanza kwenye eneo hilo. Tangazo hilo limetolewa siku moja baada wajumbe wa ngazi ya juu serikalini kufanya ziara ya kwanza jimboni humo tangu kutiwa saini kwa mkataba wa amani mwezi uliopita.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC