Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Julai 04, 2025 Local time: 23:43

Ethiopia: Yabainika serikali na waasi wakati wa vita walitumia ubakaji kama silaha


Ethiopia: Yabainika serikali na waasi wakati wa vita walitumia ubakaji kama silaha
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Tangu vita vilipozuka kati ya serikali ya Ethiopia na waasi wa Tigris People's Liberation Front mwaka 2020 imebainika ubakaji umetumiwa na pande zote kama silaha.

- Benki ya Maendeleo ya Afrika inatazamia kutoa msaada wa tani 500,000 za mbolea kwa ajili ya nchi za Afrika Magharibi.

- Rais wa Senegal amfukuza kazi Waziri wa Afya baada ya watoto wachanga 11 kufariki katika ajali ya moto kwenye hospitali moja huko.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG