"Nataka kuwafahamisha kwamba wakati afya na usalama wa wafanyakazi wetu ni kipaumbele chetu cha kwanza, pia tunafahamu fika kwamba wakati wa kipindi hiki kigumu nyote mnatuangalia na kutusukiliza sisi katika kupata habari za uhakika ambazo hazielemei upande mmoja, ili muweze kufanya maamuzi kuhusu maisha yenu," Amanda Bennet.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC