Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Julai 04, 2025 Local time: 13:40

Wanahabari Afrika Mashariki bado wanatafuta uhuru katika utendaji kazi


Wanahabari Afrika Mashariki bado wanatafuta uhuru katika utendaji kazi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wakati dunia inaadhimisha Siku ya Uhuru wa Habari Duniani, wanahabari nchini Afrika Mashariki, Jumanne, wameeleza kuwa bado wanasaka uhuru katika utendaji kazi yao, wakieleza jinsi uhuru wao ulivyominywa.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG