Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Julai 11, 2025 Local time: 21:36

Waziri Blinken kuzuru baadhi ya nchi za Afrika


Waziri Blinken kuzuru baadhi ya nchi za Afrika
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken anaanza ziara katika baadhi ya nchi za Afrika wiki hii.

Rais wa Marekani Joe Biden anafanya mazungumzo na Rais wa China Xi JInping.

Mwandishi wa habari wa Marekani aliyehukumiwa miaka 11 jela nchini Myanmar wiki iliyopita aachiliwa huru Jumatatu.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
XS
SM
MD
LG