Waziri Mkuu asimamisha sheria ambazo zimekuwa ni kero kwa wafanyabiashara soko la Kariakoo
Mkutano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Wafanyabiashara uliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Dar es Salaam umeleta tija baada ya Waziri Mkuu kusema kuwa sheria ambazo zimekuwa zikisababisha kero kwa wafanyabiashara zimesimamishwa. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili...
Zinazohusiana
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC