Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Julai 10, 2025 Local time: 22:08

WHO yaeleza virusi vya Omicron vinaua


WHO yaeleza virusi vya Omicron vinaua
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Shirika la Afya Duniani, WHO, limeonya virusi vya omicron vinasambaa kwa kasi sana na kuwa vinauwa.

Marais wa China na Russia wamesema uhusiano kati ya nchi hizo mbili ndio wa kuigwa katika karne hii.

Kambi kuu za waasi wa ADF zashambuliwa na majeshi ya Uganda na DRC.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
XS
SM
MD
LG