Zaidi ya watu 500 wafariki kutokana na mafuriko DRC
Zaidi ya watu 500 wamefariki kutokana na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa katika jimbo la Kivu kusini, DRC, huku baadhi ya nyumba zikisombwa hadi Ziwa Kivu . Serikali ikitangaza idadi ya watu waliofariki kuwa takriban 200 lakini wakazi wanasema ni zaidi ya elfu moja.

1
Uharibifu uliosababishwa na mafuriko mjini Goma, DRC.

2
Uharibifu uliosababishwa na mafuriko mjini Goma, DRC.

3
Uharibifu uliosababishwa na mafuriko mjini Goma, DRC.

4
Uharibifu uliosababishwa na mafuriko mjini Goma, DRC.