Wagombea 12 wa kiti cha rais visiwani Comoros wanapinga njama za utawala wa Rais Azali Assoumaniza kuiba kura na kujitangaza mshindi. Wansema sanduku za kupiga kura zilifika katika ngome za upinzani zikiwa tayari zimejazwa vyeti vya kura vilivyomchagua Azali.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC