#BALonVOA2021 : Rwanda yaingia Nusu Fainali, Maputo yatolewa
Klabu ya Mpira wa Kikapu ya Patriots (Rwanda) imeifunga Ferroviario de Maputo (Mozambique) pointi 73-71, katika Robo Fainali ya marudiano ya Ligi ya BAL, Alhamisi mjini Kigali, Rwanda. Kwa ushindi huo , Patriots B.B.C wanaingia katika Nusu Fainali ya Ligi ya BAL huku Maputo ikiwa imetoka.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC