Jumuiya ya Kimataifa yafuatilia kwa ukaribu uchaguzi wa Kenya.
Maafisa wa uchaguzi waeleza wako tayari kwa zoezi la uchaguzi litakalo fanyika kwa haki, usawa na amani...
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.