Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 28, 2025 Local time: 23:23

Wananchi wa Kenya kumchagua rais wa taifa la Kenya Jumanne


Wananchi wa Kenya kumchagua rais wa taifa la Kenya Jumanne
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Zimebaki saa chache kwa wananchi wa Kenya kutumia haki yao ya kikatiba katika uchaguzi mkuu wa urais 2022 utakaofanyika Jumanne.

Jumuiya ya Kimataifa yafuatilia kwa ukaribu uchaguzi wa Kenya.

Maafisa wa uchaguzi waeleza wako tayari kwa zoezi la uchaguzi litakalo fanyika kwa haki, usawa na amani...

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.

XS
SM
MD
LG