Mchambuzi apongeza hatua ya serikali ya Tanzania kupunguza tozo za huduma za fedha
Waziri wa Fedha wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba ameelezea bungeni kuwa serikali imepunguza tozo za huduma za fedha za kieletroniki kwa njia ya mitandao ya simu pamoja na miamala ya benki, ungana na mchambuzi wa uchumi mjini Dar es Salaam akikufafanulia faraja iliyotokana na punguzo hili.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC