Lakini wachambuzi wanasema soko la kubadilisha fedha za kigeni ambalo linadhibitiwa na serikali ndiyo linachochea tatizo. Zimbabwe ilianza kutumia tena sarafu yake mwaka 2019, lakini hivi sasa thamani iko katika zaidi ya 2,000 kwa dola moja ya Marekani kwenye soko la magendo. Serikali ina matumaini ya kuiachia sarafu ya dhahabu ya digitali ambayo itapunguza kushuka haraka thamani kwa dola ya Zimbabwe.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC