Wanawake hao wajasiriamali wamekutana Jumatano jijini Dar es Salaam baada ya kuhitimu mafunzo ya takribani wiki 14 yenye lengo la kuwapa elimu juu ya matumizi ya teknolojia katika kukuza biashara zao pamoja na kuwapa fursa za masoko katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Mjasiriamali wa Tanzania aeleza jinsi mafunzo ya jukwaa la AWE yalivyomsaidia
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umewakutanisha wanawake wajasriamali zaidi ya 100 kutoka mataifa ya Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda kupitia jukwaa la Academic Women Enterpreneur (AWE) linalofadhiliwa na serikali ya Marekani, ili kuwapa mafunzo ya kuboresha uendeshaji wa biashara na makampuni.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC