Walimaliza mbele ya Australia na Serbia, katika kundi lao kisha wakawashinda Wamarekani kabla ya kushindwa kwa mikwaju ya penalti baada ya utata katika mechi dhidi ya Uruguay mjini Johannesburg. Baada ya kushiriki vibaya nchini Brazil miaka minne baadae Ghana wamerejea katika hatua kubwa ya soka duniani. Sikiliza uchambuzi wa mwandishi wa VOA akiwa nchini Qatar...
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC