“Wafanyakazi, wasomi na watu wenye ujuzi walichukuliwa kutoka hapa. Hivi leo, tunahitaji nguvu kazi hii ambayo ilikuwa na ujuzi ili Afrika iweze kusonga mbele na kufikia hali bora zaidi.” - Isilda Hurst, Mwanahistoria.
Maelezo Rasmi : Nini Kuporomoka kwa Uchumi ?
Coats alipongezwa na wabunge na wastaafu wa jumuiya ya majasusi ya Marekani kwa “kuwakosoa walioko madarakani,”
Mustakbali wa soko la Marekani ilionyesha kupanda kidogo Alhamisi, likionekana kuimarika baada ya mauzo ya Jumatano
Maadhimisho ya miaka 400 tangu Waafrika wa kwanza kutoka Angola waliotekwa na kufanywa watumwa kuwasili nchi ambayo leo ni Marekani.
Zaidi ya mahujaji milioni 1.8 walikuwa wamewasili nchini Saudi Arabia siku ya Jumanne, serikali ya Saudia imesema.
Vizazi vingi vya wanafunzi wa Marekani waliweza kufahamu utumwa, ubaguzi na historia ya Marekani kupitia vitabu vyake
Mahakama pia imeeleza kuwa hadi sasa nchi 30 kati ya nchi 55 za Umoja wa Afrika (AU) ndizo zilizoridhia itifaki ya Mahakama hiyo.
“Uzoefu huu umetusaidia sana kujiongeza kimchezo,” Iris, 16, kutoka Gabon, ameiambia VOA.
Wajumbe wa Tanzania walipiga kura mwaka 1971 kulikopelekea UN kuitambua China badala ya Taiwan.
“Netflix ina washabiki wanaoongezeka nchini Uturuki, ambao wanathamini mchanganyiko wa maudhui ambao unapatikana katika huduma yetu,”
Baadhi ya wagombea urais wa chama cha Demokratiki walijikita katika kupazia sauti suala lisiloungwa mkono kisiasa kuhusu uhamiaji, uchumi na mengine Jumatano usiku wakati wakipambana kuendelea kuwepo kwenye ushindani katika mdahalo ambao utawachuja wagombea ambao wataondolewa.
Trump : "Vyombo vya Ulinzi vipo katika tukio la shambulizi huko Gilroy, California. Ripoti zilizopo mshambuliaji bado hajakamatwa. Kuweni waangalifu na salama!”
Anselme Mutuyimana msaidizi wa karibu wa rais wa FDU Victoire Ingabire, alikutwa amekufa msituni ikidaiwa alikufa kwa kunyongwa,
"Makamba ni mtu mahiri ambaye alisaidia kubuni mbinu mpya za kuendesha kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)."
''Kwa hivyo mpango wa kutoa viza kwa watu wanaoingia kutoka DRC umesimamishwa, kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa mahujaji,'' wizara imeeleza.
Mfuko wa wanyamapori ulimwenguni unasema mradi huo wa umeme utaathiri maisha ya watu 200,000 ikiwemo wakulima na wavuvi katika mto Rufiji.
Katika mji mkuu wa Uingereza - London, kiwango cha joto kimefikia nyuzi joto 37.7, ikiwa ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kurekodiwa kote Uingereza mwezi Julai.
“Je, ulimsafisha kikamilifu Rais?” Mueller alijibu “hapana” baadae na kuongeza, “Rais hakusafishwa kwa vitendo inavyodaiwa alivitenda.
Alisema : Viongozi wa Kenya wanaomba na kutaka msamaha kwa madhambi ya wizi katika Maombi ya Taifa ya 17 ya Chai ya Asubuhi ya kila mwaka.
Pandisha zaidi